
ndayavugwa
Mimi naitwa mkombozi lyzimas mzawa wa wilaya ya Ngara mkoa Kagera tarafa Kanazi kata MUGOMA NAMSHUKRU MUNGU Kwa mengi na machache niliyoweza kuyatpitia kipindi nipo Mkoa wa Daressalaam kata moja inyojulikana kama Kunduchi Wilaya ya Kinondoni mtaa kilongawima maarufu kama MBEZI BEACHI Pia nazidi kumshukru MWENYEZI MUNGU KWA Baraka zake molar wetu kumbukumbu yangu nilifika dare esalaam mwaka 2011 Mwezi wa nne Tarehe ndoo inanitoka kidogo Dhumuni la kuja Dareessalaam ilikuwa kuendelea na shule . Kilichopelekea mimi kufuatilia suala hili la shule ni kwamba baada ya kuwa nimefail kwa sababu ya mazingira iliniuma nikasema kutoka rohoni mwangu kwamba MUNGU AKINISAIDIA NIKAPATA WA KUNILIPIA ADA ANGALAU NIREVANGE YAAN KURUDIA SHULE NITAFRAHIA SANA
LAKINI PIA KUNA TUKIO MOJA AMBALO LILINISHANGAZA MPAKA SASA NAJIULIZA MASWALI AMBAYO BINAFSI SILIELEWI SIKU MOJA NILIWEZA KUTEMBELEA MKOA WA TEMEKE , NILIWEZA KUTOKEWA NA TAFRANI MOJA AMBAYO SIKUWEZA KUIJUA NA KUITAMBUA NAOMBA MUNGU UNISAIDIE KUKUMBUKA NITAENDELEA
TESTIMONIALS
“I'm a testimonial. Click to edit me and add text that says something nice about you and your services. Let your customers review you and tell their friends how great you are.”
Samantha Jones, Project Manager
“I'm a testimonial. Click to edit me and add text that says something nice about you and your services. Let your customers review you and tell their friends how great you are.”
Samantha Jones, Project Manager